Msemaji wa Bunge la Liberia amesema kuwa, bunge la nchi hiyo linapinga
vikali mpango wa kuakhirishwa uchaguzi wa Baraza la Seneti kama
ilivyotangazwa hivi karibuni na Rais Ellen Johnson Sirleaf wa nchi hiyo
kutokana na kasi ya kusambaa homa ya Ebola nchini humo.
Isaac Red
amesema kuwa, wabunge wa Liberia kwa pamoja wamepitisha muswada wa
kuitishwa uchaguzi wa Bunge la Seneti kabla ya tarehe 20 Disemba mwaka
huu. Msemaji wa Bunge la Liberia amesema kuwa, Rais hana mamlaka ya
kuakhirisha uchaguzi bila ya kuliomba bunge la nchi hiyo. Isaac Red
ameongeza kuwa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Liberia ina fursa ya
kuitisha uchaguzi huo kabla ya tarehe 20 Disemba mwaka huu. Msemaji wa
Bunge la Liberia amesema kuwa, Bunge pia limekataa ombi la Rais Sirleaf
la kutaka kuongezewa mamlaka zaidi nchini humo.
Rais Sirleaf
alitangaza hali ya hatari na kutaka aongezewe mamlaka ili aweze
kukabiliana na sheria kama vile za uhuru wa vyama, uhuru wa kujieleza na
wa vyombo vya hab
ari.
Sunday, October 12
Browse: Home
» Habari za kitaifa na kimataifa
» Bunge la Liberia: Homa ya Ebola isikwamishe uchaguzi
Bunge la Liberia: Homa ya Ebola isikwamishe uchaguzi
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: