Rais wa Serikali ya Mpito ya Jamhuri ya Afrika ya Kati amekutana na
kufanya mazungumzo na viongozi wa kundi la wanamgambo wa Kikristo la
Anti Balaka la nchini humo.
Taarifa kutoka Bangui zinasema kuwa, Rais
Catherine Samba – Panza jana alikutana na viongozi wa kundi la Anti
Balaka na kulitaka kundi hilo kuacha mara moja kukariri madai yao ya
kumtaka ajiuzulu. Rais Samba – Panza ameongeza kuwa katika siku chache
zijazo wananchi wa nchi hiyo watashuhudia amani na utulivu ikirejeshwa
nchini humo.
Inafaa kuashiria hapa kuwa, siku chache zilizopita, mji
mkuu wa nchi hiyo Bangui ulishuhudia mapigano yaliyosababisha watu
wawili kuuawa raia wa Burundi na Cameroon na kusababisha askari sita wa
kulinda amani wa Umoja wa Mataifa kujeruhiwa kwenye mapigano hayo.
Wiki
iliyopita, Patrice Edouard Ngaissona Mratibu wa kitaifa wa kundi la
Kikristo la Anti Balaka alimtaka Rais Samba - Panza ajiuzulu kwa madai
kwamba ameshindwa kutekeleza ipasavyo majukumu yake.
Sunday, October 12
Rais wa CAR akutana na viongozi wa Anti Balaka
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: