Naibu Waziri wa Afya wa Liberia ameamua kujiwekea karantini ya siku
21 kwa hiyari yake mwenyewe, baada ya sekretari wa ofisi yake kufariki
dunia kwa maradhi ya Ebola.
Bi. Bernice Danh Naibu Waziri wa Afya wa
Liberia amesema kuwa, hana dalili zozote za maradhi ya Ebola lakini
anakusudia kujiwekea karantini ya kutokutana na watu ili apate yakini
kwamba hana maradhi hayo. Naibu Waziri wa Afya wa Liberia amewataka
wafanyakazi wote katika ofisi yake kubaki nyumbani kwa muda wa wiki
tatu.
Shirika la Afya Duniani 'WHO' limetangaza kuwa, zaidi ya watu
3,000 wamepoteza maisha yao kutokana na maradhi ya Ebola ambayo
yameshambulia zaidi katika nchi za Liberia, Sierra Leone na Guinea. Hadi
sasa hakujapatikana dawa wala chanjo inayoweza kutibu maradhi hayo
hatari.
Sunday, September 28
Naibu Waziri wa Liberia ajiwekea karantini ya Ebola
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: