Rais Catherine Panza –Samba wa Jamhuri ya Afrika ya Kati ameutaka
Umoja wa Mataifa kuangalia upya na hatimaye kuviondoa vikwazo vya silaha
vilivyowekwa dhidi ya nchi hiyo. Akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa
Mataifa mjini New York, Rais Panza- Samba amesema kuwa, iwapo
vitaondoshwa vikwazo vya silaha dhidi ya nchi hiyo, majeshi ya Jamhuri
ya Afrika ya Kati kwa kushirikiana na Vikosi vya Kulinda Amani vya Umoja
wa Mataifa yataweza kurejesha amani kwa kiasi fulani nchini humo.
Baraza
la Usalama la Umoja wa Mataifa mwezi Disemba mwaka jana liliweka
vikwazo vya silaha dhi
di ya nchi hiyo baada ya kushadidi ghasia na
mapigano kati ya makundi ya wanamgambo wanaobeba silaha. Mwezi Mei mwaka
huu, Baraza la Usalama pia liliwawekea vikwazo Francois Bozize rais
aliyeondolewa madarakani pamoja na viongozi wawili wa makundi ya
wanamgambo wanaobeba silaha kwa kuhusika na machafuko ya nchini humo.
Inafaa
kuashiria hapa kuwa, machafuko nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati
yamesababisha maelfu ya watu kuuawa na wengine zaidi ya milioni moja
kuwa wakimbizi.
Sunday, September 28
Browse: Home
» Habari za kitaifa na kimataifa
» Jumapili, 28 Septemba 2014 09:24 Rais Samba ataka vikwazo vya silaha viondolewe CAR
Jumapili, 28 Septemba 2014 09:24 Rais Samba ataka vikwazo vya silaha viondolewe CAR
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: