Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS
wanakutana nchini Ghana kwa ajili ya kujadili njia za kupambana na
maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola. Kikao hicho kinachowajumuisha pia
viongozi wa nchi mbalimbali za dunia kinafanyika leo Jumatatu ambapo
pamoja na mambo mengine kitajadilia njia zitakazoweza kusaidia kupambana
na ugonjwa huo. Baada ya kikao hicho Mawaziri wa Afya kutoka nchi 47 za
dunia wataelekea nchini Benin kwa ajili ya kushiriki katika kikao
kingine cha 64 cha Afrika kilichoitishwa na kamisheni ya kieneo chini ya
Shirika la Afya Duniani nchini Benin. Kwa mujibu wa shirika hilo la
Afya WHO, hadi sasa zaidi ya watu elfu 13 na 567 wamekwisha ambukizwa
virusi vya ugonjwa huo hatari katika nchi za Sierra Leone, Liberia na
Guinea, huku karibu watu wengine 5000 wakiwa wamekwishapoteza maisha yao
kwa ugonjw
a huo
IQRA FM RADIO
Monday, November 3
Viongozi wa ECOWAS wakutana Ghana kujadili Ebola
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Sura ya Al Furqan, aya ya 41-44 (Darsa ya 628) Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur'ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: