Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Friday, November 7

Magaidi 200 wa Daesh wakamatwa nchini Ufaransa

Posted by mkachu  |  Tagged as:

Magaidi 200 wa Daesh wakamatwa nchini UfaransaWaziri wa Mambo ya Ndani wa Iraq amesema kuwa magaidi 200 wa kundi la kitakfiri la Daesh wamekamatwa katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris. Adnan al Assadi ameeleza kuwa magaidi hao wametiwa mbaroni kutokana na ushirikiano kati ya Iraq na shirika la upelelezi la Ufaransa n a kwa kufuatilia mazungumzo ya simu ya magaidi hao kati ya nchi mbili hizo.
 Katika upande mwingine Iraq imesema kuwa, kikosi chake cha anga kimeshambulia maeneo kadhaa ya magaidi wa Daesh katika mikoa ya Salahuddin na Anbar kaskazini mwa mji mkuu Baghdad. Hayo yanajiri huku jeshi la Iraq likifanikiwa kukomboa vijiji kadhaa vilivyokuwa vimetekwa na waasi wa Daesh huku mapigano yakiendelea ili kuzuia magaidi hao wasidhibiti mji wenye utajiri wa mafuta wa Baiji.
Siku ya Jumatatu Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al Abadi alisema kuwa, mafanikio ya jeshi la nchi hiyo yaliyopatikana hivi karibuni dhidi ya kundi la kitakfiri la Daesh hayakusaidiwa na mashambulizi ya anga ya Marekani.

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com