Polisi ya Burkina Faso imeanza shughuli ya kulisafisha jiji la
Ouagadougou, mji mkuu wa nchi hiyo. Katika operesheni hizo zilizoanza
leo, polisi wametumia gesi ya kutoa machozi na risasi kwa lengo la
kutawanya mabaki ya waandamanaji sambamba na kuwaonya wapinzani
wasiendelee na maandamano yao. Polisi wametangaza kuwa, uamuzi huo
umechukuliwa kwa ajili ya kurejesha usalama na amani mjini humo baada ya
kufanyika maandamano na machafuko yaliyopelekea kujiuzulu Rais Blaise
Compaore wa nchi hiyo. Hiyo ni baada ya kuripotiwa mapigano na vitendo
vya ukatili katika maeneo tofauti ya Burkina Faso hususan mji mkuu wa
nchi hiyo, Ouagadougou. Baada ya kujiuzulu Compaore, uongozi wa nchi
umechukuliwa na jeshi. Tayari jeshi hilo limeahidi kuunda serikali ya
umoja wa kitaifa ili kusimamia mchakato wa kisiasa ndani ya taifa hilo
IQRA FM RADIO
Monday, November 3
Polisi ya Burkina Faso yaanza kusafisha mji mkuu
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: