Wazazi na familia za wasichana wasiopungua 250 wa shule ya sekondari ya
bweni ambao walitekwa nyara miezi sita iliyopita na wanamgambo wa kundi
la Boko Haram nchini Nigeria, wametaka kutosahauliwa hatima ya watoto
wao. Wazazi na familia za watoto hao ambao wameunda harakati waliyoipa
jina la 'Warejesheni watoto wetu' walikusanyika jana na kuitaka serikali
ya Nigeria kuongeza juhudi za kuwakomboa wasichana hao. Mratibu wa
harakati hiyo ameeleza kwenye mjumuiko huo na hapa tunamnuku
u:' Leo hii
tunawaombeni mufanye jitihada zote za kuhakikisha watoto wetu wanarudi
wakiwa salama', mwisho wa kunukuu. Inafaa kuashiria hapa kuwa, kundi la
Boko Haram liliwashikilia mateka wasichana wapatao 270 wa shule ya
sekondari ya bweni ya Chibok iliyoko katika jimbo la Borno na hadi sasa
haijajulikana hatima yao. Kundi la Boko Haram lilitoa masharti ya
kuwaachia wasichana hao mkabala wa kuachiliwa huru wanamgambo na baadhi
ya viongozi wa kundi hilo la kigaidi wanaoshikiliwa na vyombo vya
usalama vya Nigeria. Serikali ya Nigeria ilitupilia mbali takwa la kundi
hilo, na kusisitiza kuendeleza operesheni za kuwakomboa wasichana hao
IQRA FM RADIO
Monday, October 13
Wazazi wa wasichana waliotekwa Nigeria waja juu
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: