Kwa akali watu 72 wamefariki dunia baada ya kukumbwa na maradhi ya
kipindupindu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Dakta Mathilde
Kisungi amesema kuwa, ukosefu wa huduma za vyoo na kuoga kwenye mito na
maji yaliyotuama kumechangia kwa kiasi kikubwa kusambaa maradhi ya
kipindupindu nchini humo. Naye Dakta Adalbert Ngandwe Manda Mganga Mkuu
wa Wilaya ya Tanganyika iliyoko kusini mashariki mwa Kongo amesema kuwa,
idadi ya watu waliokumbwa na maradhi ya ki
pindupindu imeongezeka kwa
kasi katika eneo hilo. Dakta Manda ameongeza kuwa, tokea mwezi Agosti
hadi sasa, jumla ya watu wasiopungua 72 tayari wameshafariki dunia
kutokana na maradhi hayo. Hii ni katika hali ambayo, idadi ya watu
waliofariki dunia katika wilaya ya Tanganyika kutokana na maradhi ya
Ebola katika kipindi hichohicho ni arubaini na tatu. Inafaa kuashiria
hapa kuwa, zaidi ya watu 4,000 wameshafariki dunia kutokana na maradhi
ya Ebola barani Afrika na hasa katika nchi za Guinea, Liberia, Sierra
Leone, Senegal, Nigeria na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
IQRA FM RADIO
Monday, October 13
Maradhi ya kipindupindu yaua watu 72 Congo DR
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

Facebook
Twitter
RSS
0 toamaon yako: