Kamati ya pamoja ya kisiasa na kiusalama ya Sudan na Sudan Kusini
imetangaza kwamba, Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan na mwenzake Salva
Kiir wa Sudan Kusini watakutana wiki hii kwa minajili ya kujadili kwa
kina masuala ya kiusalama na mashirikiano ya pande hizo mbili. Duru za
habari kutoka Khartoum zinasema kuwa, viongozi hao watajadili suala la
kuainishwa mpaka wa pamoja, kutangaza eneo linalopaswa kutokuwa na
silaha na vilevile kuwaondoa wanamgambo wanaobeba silaha katika e
neo
hilo. Wakuu wa nchi za Sudan na Sudan Kusini watajadiliana kwa kina pia
suala la kuimarishwa usalama na kufunguliwa vivuko kwenye mpaka wa nchi
hizo mbili. Imeelezwa kuwa, Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini siku ya
Alhamisi ataelekea Khartoum kwa minajili ya kukutana na Rais Omar Hassan
al Bashir wa Sudan. Inafaa kuashiria hapa kuwa, licha ya pande hizo
mbili kutiliana saini utekelezwaji wa makubaliano ya mashirikiano ya
pande mbili mwezi Machi mwaka jana, amma bado zinahitilafiana kuhusiana
na umiliki wa eneo Abyei, ambalo lina utajiri mkubwa wa mafuta.
IQRA FM RADIO
Monday, October 13
Sudan Mbili kujadili amani katika mipaka yao
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

Facebook
Twitter
RSS
0 toamaon yako: