Kwa akali watu saba wameuawa na wengine 15 kujeruhiwa baadhi yao wakiwa
mahututi baada ya bomu la kutegwa garini kulipuka mkabala wa mkahawa
mmoja ulioko katikati mwa Mogadishu, mji mkuu wa Somalia. Polisi ya
Somalia imesema kuwa, hadi sasa hakuna mtu au kikundi chochote
kilichotangaza kuhusika na shambulio hilo, ingawa kundi la al Shabab
linashukiwa kwa kutekeleza shambulio hilo la kigaidi. Kundi la al Shabab
wiki iliyopita lilitangaza kushadidisha mashambulio ya kigaidi nchini
Somalia, baada ya kufurushwa kutoka katika mji waliokuwa wakiudhibiti.
Kanali Nour Farah Afisa mwandamizi wa Jeshi la Polisi nchini Somalia
amesema kuwa, kuna uwezekano mkubwa kwamba shambulio hilo limefanywa na
kundi la al Shabab. Viongozi wa kundi la al Shabab wanadai kuwa,
serikali ya Somalia inapaswa kuangushwa kutokana na kuwa kibaraka wa
madola ya kibeberu ya Magharib
IQRA FM RADIO
Monday, October 13
Saba wauawa kwenye mlipuko wa bomu Mogadishu
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

Facebook
Twitter
RSS
0 toamaon yako: