Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, nchi
zote za Mashariki ya Kati ikiwemo Iran zinapasa kushirikishwa katika
mapambano ya pamoja dhidi ya ugaidi. Lavrov ameongeza kuwa, ni muhimu
kukabiliana na ugaidi na kwamba serikali za kieneo zinapaswa
kushirikishwa kwenye vita hivyo ikiwemo serikali ya Iran na Syria.
Akiashiria
hatua za Marekani za kupambana na ugaidi Mashariki ya Kati, Lavrov
ameongeza kuwa, nchi zinazochukua hatua za upande mmoja kupambana na
ugaidi kwenye eneo kiuhakika zinasababisha vitisho zaidi. Waziri wa
Mambo ya Nje wa Russia pia amesema kushindwa Washington kutathmini siasa
zake katika muongo uliopita kumesababisha mgogoro unaoendelea sasa
Mashariki ya Kati.
IQRA FM RADIO
Thursday, October 2
Russia: Iran ijumuishwe katika vita dhidi ya ugaidi
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: