Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria amesisitiza azma ya serikali ya
Abuja ya kukabiliana na kundi la Boko Haram la nchini humo. Akizungumza
kwenye sherehe za kutimia miaka 54 ya uhuru wa Nigeria, Rais Jonathan
ameongeza kuwa, suala la kulindwa maisha ya wananchi ni miongoni mwa
mambo yanayopewa kipaumbele na serikali yake.
Rais Jonathan amesisitiza kwamba kundi la Boko Haram linapasa
kupokonywa silaha. Inafaa kuashiria hapa kuwa, tangu mwaka 2009 kundi la
Boko Haram limekuwa likitekeleza mauaji, utekaji nyara, uripuaji wa
majengo ya serikali na kuharibu miundombinu nchini humo na kusababisha
zaidi ya watu 2,000 kuuawa na mamia ya maelfu ya wengine kuwa wakimbizi.
IQRA FM RADIO
Thursday, October 2
Nigeria kuendeleza mashambulio dhidi ya Boko Haram
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

Facebook
Twitter
RSS
0 toamaon yako: