Polisi ya Bahrain imemtia mbaroni mwanaharakati maarufu wa haki za
binadamu Nabeel Rajab kutokana na kuandika katika mtandao wa Twitter
matamshi ya kupinga serikali, huku utawala wa Manama ukiendelea
kuwakandamiza waandamanaji. Taarifa iliyotolewa na serikali imeeleza
kuwa, baada ya polisi kumhoji mwanaharakati huyo ambaye ni mkurugenzi wa
Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain (BCHR), hatua zimechukuliwa za
kumfikisha mahakamani.
Katika moja ya matamshi yake kwenye mtandao wa
Twittr Nabeel Rajab alisema kuwa, Wabahraini waliojiunga na kundi la
Daesh nchini Syria na Iraq kiuhakika wanatoka katika taasisi za usalama
za utawala wa kifalme wa Manama.
Makundi ya haki za binadamu
yamelaani kukamatwa
mwanaharakati huyo na kuutaka utawala wa kifalme wa
al Khalifa uache kuwanyanyasa watetezi wa haki za binadamu.
IQRA FM RADIO
Thursday, October 2
Mwanaharakati wa haki za binadamu akamatwa Bahrain
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: