Timu ya taifa ya Kabaddi ya Iran kwa upande wa wanaume imejikatia tiketi
ya fainali ya mchezo huo katika mashindano ya mataifa ya Asia
yanayoendelea katika mji wa Incheon nchini Korea Kusini. Iran ambayo
imeonekana tishio katika mchezo huo, imetinga fainali kwa kishindo baada
ya kuigaragaza Pakistan kwa pointi 25 kwa 14 Kabla ya mchezo huo India
nayo ilikuwa imefanikiwa kukata tiketi ya kutumbukia fainali katika
mchezo hyuo wa Kabaddi baada ya kuwabwaga wenyeji Korea Kusini katika
mechi ya nusu fainali. Kwa msingi huo, wacheza Kabaddi wa Iran
watagaragazana na India katika mechi ya fainali inayotarajiwa kuwa na
ushindani mkubwa. Fainali hiyo itakumbusha fainali ya mcxhezo huo katika
mashindano yaliyopita ya Guangzhou ambapo Iran ilishindwa na India
katika mchezo huo na kukosa medali ya dhahabu. Timu ya taifa ya Iran ya
Kabaddi kwa upande wa akina dada nayo imetinga fainali ya mchezo huo
baada ya kuwapeleka mchakamchaka akina dada wa Bangladesh katika mchezo
wa nusu fainali. Kama ilivyo kwa wanawaume, akinana dada wa Iran pia
wanachuana na wale wa India katika kuwania medali ya dhahabu
IQRA FM RADIO
Thursday, October 2
Browse: Home
» Habari za kitaifa na kimataifa
» Michezo ya mataifa ya Asia: Timu ya Kabaddi ya Iran ya wanaume yatinga fainali
Michezo ya mataifa ya Asia: Timu ya Kabaddi ya Iran ya wanaume yatinga fainali
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: