Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini amesema kuwa, kupatiwa
ufumbuzi mgogoro wa Palestina ni jukumu la kimataifa. Maite
Nkoana-Mashabane amesema hayo katika hotuba yake kwenye mkutano wa
kukarabati Gaza, huko Cairo Misri na kusisitiza kwamba, kumefanyika
makongamano na mikutano mingi kuhusiana na kadhia ya Palestina, lakini
pamoja na hayo Wapalestina wangali wanataabika na kuteseka kutokana na
kuishi katika mazingira magumu mno.
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini amesisitiza kwamba,
Wapalestina wanaitaka jamii ya kimataifa iandae mazingira ya kubo
reshwa
miundo mbinu. Amesema, ni makumi ya miaka sasa ambapo Wapalestina
wamekuwa wakiendesha mapambano ya kukomboa ardhi zao na kuongeza kuwa,
serikali ya Afrika Kusini itaendelea kuliunga mkono taifa madhulumu la
Palestina mpaka litakapofanikiwa kufikia malengo yake. Bi Mashambane
amesisitiza kuwa, serikali ya Afrika Kusini inasisitiza juu ya
kusitishwa mashambulio ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya
Wapalestina.
IQRA FM RADIO
Monday, October 13
Mashabane:Kadhia ya Palestina itatuliwe haraka
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: