Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Wednesday, October 8

Maelfu wakimbia mapigano huko Kashmir

Posted by mkachu  |  Tagged as:

 Maelfu wakimbia mapigano huko KashmirMapigano kati ya askari wa India na Pakistan katika eneo la mpakani la Kashmir kwa siku mbili mfululizo, yamepelekea makumi ya maelfu ya wanavijiji wa eneo hilo kukimbia makazi yao. Raia wasiopungua 10 wameripotiwa kuuawa na wengine 22 kujeruhiwa katika utupianaji risasi na makombora kati ya askari polisi wa India na wa eneo la Pakistan la Kashamir.   
 Shams Uddin afisa polisi wa Pakistan amesema kuwa eneo zima la vijiji na milima kwenye mpaka limeathiriwa na mapigano hayo, huku maelfu ya watu wakikimbia nyumba zao kuelekea kwenye maeneo salama.
 Machafuko hayo yanahesabiwa kuwa ni ukiukwaji mbaya zaidi wa makubaliano ya usitishaji vita yaliyofikiwa mwaka 2003 kati ya India na Pakistan.

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com