Waziri wa Usalama wa Taifa wa Iran amesema kuwa, vikosi vya usalama
hivi karibuni vimewatia mbaroni makumi ya watu wanaoshirikiana na
makundi ya kigaidi na kitakfiri na kuzima mipango kadha ya kufanya
mashambulio ya kigaidi hapa nchini.
Sayyid Mahmoud Alavi amesema hayo akihutubia bunge na kuongeza kuwa
zaidi ya wanachama 130 wa makundi tofauti ya kigaidi yanayojishughulisha
katika baadhi ya nchi za eneo wamekamatwa katika operesheni kadhaa
zilizofanywa katika miezi ya hivi karibuni. Ameongeza kuwa, maafisa wa
usalama wa Iran pia wametoa pigo kubwa kwa baadhi ya vikundi vya kigaidi
kama vile al Furqan na pia kuwasambaratisha wafuasi wake katika maeneo
ya mashariki na magharibi mwa nchi.
Waziri wa Usalama wa Taifa wa Iran aidha amesema, kumekamatwa kiasi
kikubwa cha mada za milipuko zilizokuwa zimepangwa kutegwa katika miji
mitakatifu katika moja ya nchi jirani
IQRA FM RADIO
Wednesday, October 8
130 wakamatwa Iran kwa kushirikiana na magaidi
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: