Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Thursday, September 25

Watu 18 wauawa kwa mashambulizi Nigeria

Posted by mkachu  |  Tagged as:

Wanamgambo wa Boko Haram
Takriban watu 18 wameuawa na watu wanaoshutumiwa kuwa wanamgambo wa Boko Haram mjini Shaffa, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Shuhuda wa tukio hilo amesema mashambulizi hayo yalifanyika siku ya jumatano jioni na kuendelea mpaka alhamisi asubuhi.
Wanamgambo wa kiislamu wamesema wameharibu makanisa kadhaa na makazi mjini humo, na kushambulia kijiji.
Mji wa Shaffa uko kwenye jimbo la Borno,jimbo ambalo limeathiriwa na mashambulizi ya wanamgambo

Related Posts:

0 toamaon yako:

    Author

    CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

    uislam na maisha yake

    uzayuni

    swahili radio

    uislam na maisha

    mohamed waziri

    Subscribe to our Mailing List

    We'll never share your Email address.
    +255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com