Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Thursday, September 25

Obama:hatua zichukuliwe dhidi ya Ebola

Posted by mkachu  |  Tagged as:

Rais wa Marekani, Barack Obama
Raisi wa Marekani Barack Obama amesema Afrika Magharibi inakabiliwa na janga la kibinaadam na kutaka dunia ichukue hatua haraka kuumaliza ugonjwa wa Ebola.
Obama amesema katika kikao cha dharula cha Umoja wa mataifa kuwa kuingilia kati swala hili kutaponya maisha ya maelfu ya watu.
Raisi wa liberia Ellen Johnson Sirleaf ameuambia mkutano huo kuwa ugonjwa wa ebola ulikua adui asiyejulikana aliyegharimu maisha ya watu 1700 wa nchini mwake.
Naye Raisi wa Sierra Leone, Ernest Bai Koroma, ameutaja ugonjwa wa ebola kuwa gonjwa la dunia, akiitaka jumuia ya kimataifa kuchukua hatua.
Benki ya dunia imetangaza kuongeza msaada wa kifedha wa dola milioni mia moja na sabini kusaidia kupambana na ugonjwa huo.

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com