Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Thursday, September 25

FBI yamtambua mpiganaji wa jihad

Posted by mkachu  |  Tagged as:

Mkurugenzi wa FBI nchini Marekani,James Comey
Mkurugenzi wa shirika la upelelezi la marekani FBI, amesema ofisi imemtambua mmoja wa wanamgambo wa Islamic State aliyekua ameuficha uso wake aliyehusika na mauaji ya Waandishi wa habari wa Marekani na mfanyakazi wa shirika la misaada, raia wa Uingereza.
Shirika hilo halijataja jina na uraia wa mtu huyo, lakini serikali ya London imesema anaonekana kuwa muingereza.
James Comey amesema muuaji ametambulika kwa msaada wa washirika wao wa kimataifa.
Mauaji ya kikatili yaliyofanyika dhidi ya James Foley, Steven Sotloff na David Haines yalitolewa kwenye video na kupelekwa kwenye mitandao na wanamgambo hao wa Islamic State na kuchochea mapambano dhidi ya wapiganaji wa Jihad.

Related Posts:

0 toamaon yako:

    Author

    CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

    uislam na maisha yake

    uzayuni

    swahili radio

    uislam na maisha

    mohamed waziri

    Subscribe to our Mailing List

    We'll never share your Email address.
    +255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com