Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Sunday, September 21

Mlipuko wawaua watu wawili nchini Misri

Posted by Unknown  |  Tagged as:

 
Kumekuwa na mlipuko karibu na jumba la wizara ya maswala ya kigeni nchini Misri.
Ripoti za awali zinasema kuwa watu wawili waliuawa katika mlipuko huo katika wilaya ya Bulaq Abu-al-lla, eneo lililojaa watu katika mto Nile.

Tangu kuondolewa mamlakani kwa aliyekuwa rais wa taifa hilo Mohammed Morsi mnamo mwezi July mwaka jana ,misri imekuwa ikishuhudia misururu ya milipuko na mashambulizi yanayowalenga maafisa wa polisi na wanajeshi.

Related Posts:

0 toamaon yako:

    Author

    CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

    uislam na maisha yake

    uzayuni

    swahili radio

    uislam na maisha

    mohamed waziri

    Subscribe to our Mailing List

    We'll never share your Email address.
    +255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com