Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Sunday, September 21

Boko Haram lashambulia Nigeria Kazkazini

Posted by mkachu  |  Tagged as:

 
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wameshambulia mji wa kazkazini mashariki wa Mainok karibu na mji wa Maiduguri.

Takriban watu thelathini wameripotiwa kufariki siku ya ijumaa wakati wapiganaji hao walipotekeleza mashambulizi katika soko moja lililojaa watu wakati wa mchana.

Walioshuhudia wanasema kuwa wapiganaji hao walibeba chakula katika magari ya wizi,huku wanajeshi wakitoroka.

Kundi la Boko haram limechukua udhibiti wa miji kadhaa na vijiji katika mji wa Maiduguri katika majuma ya hivi karibuni.

Jeshi limejaribu kulikabili kundi hilo licha ya tangazo la hali ya hatari katika majimbo mjatatu ya kazkazini mashariki mwa Nigeria mwaka uliopita.

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com