Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Sunday, September 21

Watu 2 wauawa kwenye mlipuko wa bomu uliotokea karibu na wizara ya mambo ya nje ya Misri

Posted by mkachu  |  Tagged as: , ,




Watu 2 wauawa kwenye mlipuko wa bomu uliotokea karibu na wizara ya mambo ya nje ya Misri

(GMT+08:00) 2014-09-21 19:23:46
Watu 2 wameuawa na wengine 6 kujeruhiwa katika mlipuko wa mabomu uliotokea leo asubuhi katika barabara kuu karibu na wizara ya mambo ya nje nchini Misri.
Gazeti la serikali ya Misri Al-Ahram limeeleza kuwa, watu hao wawili waliouawa ni askari wa Misri. Habari nyingine zinasema, idara ya usalama ya Misri inaona kundi la kiislam lenye msimamo mkali linalojiita Ansar Bayt al-Maqdis limehusika na mlipuko huo.

Related Posts:

0 toamaon yako:

    Author

    CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

    uislam na maisha yake

    uzayuni

    swahili radio

    uislam na maisha

    mohamed waziri

    Subscribe to our Mailing List

    We'll never share your Email address.
    +255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com