Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Sunday, September 28

Jumapili, 28 Septemba 2014 20:03 Algeria kujenga ukuta katika mpaka wake na Libya

Posted by mkachu  |  Tagged as: ,

Algeria kujenga ukuta katika mpaka wake na LibyaAlgeria imesema kuwa imechukua umauzi wa kujenga ukuta wa usalama wenye urefu wa kilomita 110 katika mipaka ya nchi hiyo na Libya. Algeria imeamua kujenga ukuta huo wa umeme baada ya kufanya mazungumzo na maafisa usalama na kwa kuwasiliana na Libya, katika kikao kilichowashirikisha pia wataalamu wa masuala ya kupambana na ugaidi na jinai zilizoratibiwa. Algeria imesema kuwa vikosi vya usalama vitatumwa kwenye mipaka ya pamoja ya nchi mbili hizo, sambamba na kujengwa ukuta huo wa umeme.

 

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com