Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Dakta Mohammad Javad Zarif amefanya mazungumzo kwa mara nyingine na John Kerry, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani na Bi. Catherine Ashton, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya kuhusiana na maendeleo ya duru ya saba ya mazungumzo ya nyuklia katika hoteli ya Waldorf mjini New York, Marekani. Hata hivyo ripoti rasmi ya kikao hicho haijatolewa. Hicho ni kikao cha pili kati ya pande tatu hizo katika hoteli hiyo baada ya kile cha awali kilichofanyika siku ya Alkhamisi. Sayyid Abbas Araqchi, afisa mwandamizi katika timu ya mazungumzo ya nyuklia na ambaye ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, amenukuliwa akisema kuwa, kikao cha awali cha pande tatu kilikuwa chanya na pande hizo ziliafikiana katika vipengee kadhaa licha ya kuweko hitilafu kubwa, hata hivyo akaelezea kuwepo uwezekano wa kurefushwa duru ya saba ya mazungumzo hayo ya mjini New York.
IQRA FM RADIO
Friday, September 26
Browse: Home
» Habari za kitaifa na kimataifa
» Jumamosi, 27 Septemba 2014 09:50 Zarif, Kerry na Ashton wajadili tena kadhia ya nyuklia
Jumamosi, 27 Septemba 2014 09:50 Zarif, Kerry na Ashton wajadili tena kadhia ya nyuklia
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: