Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Friday, September 26

Ijumaa, 26 Septemba 2014 12:48 Syria yalaani kuzuiwa raia wake kwenda Hijja

Posted by mkachu  |  Tagged as:

Syria yalaani kuzuiwa raia wake kwenda Hijja
Wizara ya Waqfu ya Syria imeitaja hatua ya Saudi Arabia ya kuwazuia raia wa Syria kushiriki katika ibada ya Hija kuwa inabainisha uadui wa wazi wa Riyadh kwa taifa hilo. Wizara hiyo imelaani hatua hiyo ya utawala wa Saudia ikisema kuwa haikubalika na inaonesha ushirikiano wa wazi kati ya Riyadh na madola ya Kimagharibi hasa Marekani dhidi ya Syria. Wizara ya Waqfu ya Syria  imesisitiza kuwa, marufuku hiyo ya kidhalimu haina mfano katika kipindi chote cha historia ya umma wa Kiarabu na Kiislamu.
Ni vyema kuashiria hapa kwamba, hii  ni mara ya tatu mtawalia ambapo utawala wa kifalme wa Saudi Arabia unawazuia raia wa Syria kushiriki katika ibada ya hija, tangu kulipoibuka machafuko katika nchi Syria.

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com