Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa, ugonjwa wa
ebola ambao unaendelea kusambaa kwa kasi katika eneo la magharibi mwa
Afrika, umeweza kudhibitiwa kwa kiasi kikubwa nchini Kongo. Augustin
Matata Ponyo amesema kuwa, katika siku za hivi karibuni hakujashuhudiwa
kesi yoyote inayohusiana na maradhi ya ebola nchini humo. Waziri Mkuu wa
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa, idadi ya watu waliopatwa
na maradhi hayo kuanzia mwezi uliopita hadi sasa ni 68, na wengine 41
wameshafariki dunia kutokana na ugonjwa huo. Inafaa kuashiria hapa kuwa,
kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani WHO, zaidi ya watu
2,700 wameshafariki dunia hususan katika nchi za Liberia, Guinea na
Sierra Leone kutokana na maradhi ya ebola.
IQRA FM RADIO
Tuesday, September 23
Ebola yatokomezwa kikamilifu nchini Kongo DR
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Sura ya Al Furqan, aya ya 41-44 (Darsa ya 628) Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur'ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: