Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Saturday, August 8

Hali ni tete Kabul mabomu yameua watu 41

Posted by mkachu  |  Tagged as:
















Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani anaongoza kikao maalum cha usalama baada ya mashambulizi 
kadha ya kujitolea muhanga yaliyopelekea watu 41 kufa.
Mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, umekumbwa na milipuko kadhaa



Miongoni mwa maeneo yaliyolengwa ni chuo cha maafisa wa polisi, ambapo mtu mmoja aliyekuwa amevalia sare za polisi alijilipua na kuwaua zaidi ya watu 25.
Washambuliaji hao pia walivamia kituo cha wanajeshi wa shirika la kujihami la NATO kilichoko karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa.



Inadaiwa kuwa wawili kati ya washambuliaji hao waliuawa.
Mapema siku ya Ijumaa lori moja lililokuwa limetegwa bomu lililipuka karibu na afisi za serikali na kuwaua watu 15.



Rais Ashraf Khan alisema kuwa mashambulizi hayo yalikuwa ni lengo la Wapiganaji wa Kiislamu wa Taliban kujaribu kuwasahaulisha watu misukosuko inayokumba kundi lao kufuatia tangazo la juma lililopita kuwa mwanzilisi wa kundi hilo,Mullah Omar,alifariki



0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com