Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Sunday, October 12

Wakutana kujadili ujenzi wa Gaza

Posted by mkachu  |  Tagged as:

Wawakilishi wa zaidi ya nchi 50 wanakutana mjini Cairo hii leo katika mkutano wa kulijenga upya eneo la Gaza baada ya vita vya hivi majuzi kati ya Hamas na Isreali.
Utawala wa Palestina unataka usaidizi wa dola biliioni nne kufadhii ujenzi wa miaka mitatu.
Gaza ilikumbwa na uharibifu mkubwa wa miundo msingi yake wakati wa mzozo huo.
Sehemu zingine zilikuwa zikionekana kama zile zilizokumbwa na tetemeko la ardhi baada ya mashambulizi ya Israeli yaliyokuwa na lengo la kusitisha mashambulizi ya roketi kutoka kwa wanamgambo wa Hamas
Mwandishi wa BBC mjini Cairo anasema kuwa ahadi kadha zinatarajiwa lakini ujenzi utafanyika kulingana na vile Israeli itakavyoruhusu kuingizwa kwa bidhaa za ujenzi ambazo awali zimetumiwa na Hamas kujenga barabara za chini kwa chini.

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com