Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Sunday, October 12

Mabaki ya utawala wa zamani Tunisia yahofiwa kurejea

Posted by mkachu  |  Tagged as:

Mabaki ya utawala wa zamani Tunisia yahofiwa kurejea
Mabaki ya utawala wa zamani wa dikteta aliyepinduliwa Tunisia Zainul Abidin Bin Ali wanapanga kurejea katika ulingo wa kisiasa nchini humo kwa kugombea katika uchaguzi ujao wa bunge na rais, licha ya kukataliwa na wananchi.
Nchi hiyo ya Kaskazini mwa Afrika yenye karibu watu milioni 5.2 waliotimiza masharti ya kupiga kura ina wagombea 13,000 wa viti 217 vya bunge kwenye uchaguzi wa mwezi Oktoba. Uchaguzi huo wa bunge utafuatiwa na wa rais utakaofanyika mwezi Novemba, ambapo Watunisia watapata fursa ya kumchagua rais moja kwa moja kwa mara ya kwanza tangu dikteta Zainul Abidin bin Ali apinduliwe.
 Wafuasi waliobakia wa utawala wa zamani wa Tunisia wameunda chama cha kisiasa kiitwacho Desturian Movement kinachodai kwamba wafuasi wake wana uwezo wa kutosha na tajruba ya kuongoza nchi hiyo.
 

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com