Haydar al Abadi, Waziri Mkuu wa Iraq amepinga vikali ushiriki wa nchi
za Kiarabu kwenye mashambulio ya anga ya Marekani dhidi ya ngome za
matakfiri wa Daesh nchini humo. Matamshi ya Waziri Mkuu wa Iraq
yanatolewa katika hali ambayo, nchi za Saudi Arabia, Jordan, Bahrain,
Qatar na Umoja wa Falme za Kiarabu zinashirikiana na Marekani kwenye
mashambulio ya anga dhidi ya wanamgambo wa Daesh nchini Syria. Haydar al
Abadi amesisitiza kuwa, hakuna mwanajeshi yoyote wa kigeni
atakayeruhusiwa kuingia ndani ya ardhi ya Iraq kwa shabaha ya kupambana
na magaidi wa Daesh.
Waziri Mkuu wa Iraq ameongeza kuwa, migongano ya kimataifa na kieneo
imesababisha kuibuka kundi la Daesh katika eneo la Mashariki ya Kati.
Inafaa kuashiria hapa kuwa, kundi la kigaidi la Daesh lililoanzishwa na
kupata msaada mkubwa wa silaha na kifedha kutoka nchi za Magharibi na za
Kiarabu za eneo la Mashariki ya Kati linadhibiti sehemu kubwa ya ardhi
za Syria na Iraq, na limetekeleza jinai mbalimbali ikiwa ni pamoja na
kuwaua kwa umati wananchi wa nchi hizo mbili.
Thursday, October 2
Iraq yakataa ushiriki wa Waarabu dhidi ya Daesh
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: