Kundi la waasi wa zamani wa M23 huko mashariki mwa Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo limeikosoa ripoti iliyotolewa hivi karibuni na
Umoja wa Mataifa kuhusiana na unyama na ukatili uliofanywa na wanamgambo
wa kundi hilo.
Bertrand Bisimwa kiongozi wa kundi la M23 ameitaja
ripoti hiyo ya Umoja wa Mataifa kuwa siyo ya kiadilifu na imeandaliwa
kiupendeleo. Hivi karibuni, Umoja wa Mataifa ulitoa ripoti mpya
inayolituhumu kundi la waasi wa zamani wa M23 kwa kufanya mauaji,
ubakaji na utesaji dhidi ya mamia ya wananchi wa Kongo tokea mwezi
Aprili 2012.
Inafaa kuashiria hapa kuwa, majeshi ya Kongo
yakishirikiana na kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini
Kongo MONUSCO yalifanya operesheni kamambe ya kulitokomeza kundi hilo na
wanamgambo wa kundi hilo kulazimika kukimbilia k
atika nchi za Rwanda,
Uganda na Angola
Sunday, October 12
Browse: Home
» Habari za kitaifa na kimataifa
» Bisimwa aikosoa vikali ripoti ya UN iliyo dhidi ya M23
Bisimwa aikosoa vikali ripoti ya UN iliyo dhidi ya M23
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: