Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ameyashambulia vikali makundi ya kigaidi na kitakfiri katika eneo la Mashariki ya Kati akisema kuwa makundi hayo yanaonyesha picha mbaya kwa dini tukufu ya Kiislamu. Sheikh Abdullah bin Zayed Aal Nahyan amesema hayo wakati akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York Marekani na kuongeza kuwa, vitendo vya makundi hayo ya kigaidi kama vile kuua watu kiholela, kuua watu kwa umati, kuteka nyara watu, kuwanyanyasa na kuwakandamiza vibaya wanawake na watoto wadogo wasio na hatia ni jinai, na kwamba Imarati inalaani vikali jinai hizo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu vile vile amesema, uhalifu wa kutisha unaofanywa na makundi hayo unakinzana kikamilifu na mafundisho ya Uislamu na kwamba makundi hayo yanafanya kosa kubwa yanapobeba bendera ya dini ili kuhalilalisha jinai zao. Waziri huyo wa mambo ya nje wa Imarati pia amesema, nchi yake inalaani mbinu za kudhulma zinazotumiwa na makundi hayo yaliyojipachika jina la Uislamu kwani jinai na uhalifu wa makundi hayo unapingana kikamilifu na misimamo ya wastani na kuishi na watu wengine kwa usalama na amani
Sunday, September 28
Browse: Home
» Uislamu
» Jumapili, 28 Septemba 2014 20:09 Imarati yayashambulia vikali makundi ya kitakfiri
Jumapili, 28 Septemba 2014 20:09 Imarati yayashambulia vikali makundi ya kitakfiri
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa, Uislamu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: