
Ikulu ya Marekani, imetoa maelezo kuhusu mali ya binafsi ya watu waliomo katika serikali ya Rais Donald Trump.
Mali hiyo imedhihirishwa kama sheria inavyoelekeza, na inaonyesha kuwa mtoto wa rais wa kike, Ivanka pamoja na mumewe, wana kama dola milioni 740.
Piya imetangazwa kuwa mshauri mkuu wa rais kuhusu uchumi, Gary Cohn, ana kama dola robo bilioni.
0 toamaon yako: