Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Wednesday, September 24

Vikwazo vya kusaka elimu ya juu

Posted by mkachu  |  Tagged as:

Vikwazo vya kusaka elimu ya juu

Saa 2 zilizopita
Katika mfululizo wa makala zetu za elimu ya juu, leo tunaelekea nchini Tanzania ambapo pamoja na jitihada za serikali ya nchi hiyo kutaka kuongeza idadi ya wasichana wanaochukua masomo ya sayansi kuanzia ngazi ya chini hadi chuo kikuu,changamoto za kufikia lengo hilo zimekuwa nyingi.
Mwandishi wa BBC Arnold Kayanda amezungumza na Dr Cathbert Nahonyo ambaye ni Mtaalamu wa Baionwai na Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ambaye anaeleza hali ilivyo

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com