Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Wednesday, September 24

Russia yalaani mashambulizi ya US nchini Syria

Posted by mkachu  |  Tagged as:

 Russia yalaani mashambulizi ya US nchini Syria
Russia imelaani mashambulizi yanayoongozwa na Marekani dhidi ya kundi la kitakfiri la Daesh nchini Syria na kusema kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.  Alexander Lukashevich Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, Moscow inasisitiza kuwa hatua kama hizo zinaweza tu kuchukuliwa chini ya fremu ya sheria ya kimataifa ambapo kabla ya kuchukuliwa hatua hiyo ingepatikana ridhaa ya serikali ya Syria au kupasishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
 Kwa mujibu wa ripoti, Marekani na washirika wake wamefanya mashambulio karibu 200 ya anga dhidi ya wapiganaji wa Daesh nchini Syria. Mashambulizi hayo yamefanywa bila kuidhinishwa na Umoja wa Mataifa, ingawa serikali ya Damascus imesema kuwa Marekani iliitaarifu

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com