Serikali ya Afghanistan imetangaza kuwa, kwa akali wanamgambo 123 wa
kundi la Taliban wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa katika mapigano
makali kati ya majeshi ya serikali ya Kabul na wanamgambo hao katika
kipindi cha masaa 24 yaliyopita. Wizara ya Mambo ya Ndani ya Afghanistan
imetan
gaza kuwa, majeshi ya serikali ya Kabul yamefanya operesheni
kabambe katika mikoa tisa ya nchi hiyo na kuleta hasara na maafa makubwa
dhidi ya kundi hilo. Taarifa hiyo imeongeza kuwa, makamanda kadhaa wa
kundi la Taliban wakiwemo Mulla Sirajuddin, Mulla Mir, Seifuddin Kuchi,
Mulla Muhammad na Abdul Wadood maarufu kwa jinai la Zarqawi ni miongoni
mwa viongozi waandamizi wa kundi hilo waliouawa kwenye operesheni hiyo
na hasa katika majimbo ya Kunduz na Helmand. Taarifa hiyo imeongeza
kuwa, katika operesheni iliyofanyika katika mkoa wa Faryab ulioko
kaskazini mwa Afghanistan, majeshi ya serikali yamefanikiwa kuwauwa
makamanda 10 wa kundi la Taleban. Duru hiyo imeeleza kuwa, majeshi ya
serikali yamefanikiwa pia kukamata ngawira, zikiwemo silaha, zana za
kijeshi na makumi ya pikipiki kwenye operesheni hiyo.
IQRA FM RADIO
Sunday, September 28
Browse: Home
» Habari za kitaifa na kimataifa
» Jumapili, 28 Septemba 2014 Wanamgambo 123 wa Taliban wauawa Afghanistan
Jumapili, 28 Septemba 2014 Wanamgambo 123 wa Taliban wauawa Afghanistan
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: