Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa wito wa kushtakiwa viongozi wa kijeshi na kisiasa wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutenda jinai dhidi ya binadamu. Iyad Amin al Madani Katibu Mkuu w a OIC ameikosoa Israel kwa kuwafanyia Wapalestina vitendo visivyo vya kibinadamu kwa miongo kadhaa sasa. Amesema kuwa, kuna kesi kubwa ya kuitaja Israel kuwa ni utawala wa ‘ubaguzi wa rangi’ ambao unapaswa kushughulikiwa kimataifa. Al Madani ameongeza kuwa, wamekuwa wakifanya majadiliano ya kuishauri serikali ya Palestina kujiunga na Mkataba unaounda Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC na kuwa mwanachama wa korti hiyo. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu pia amesema, OIC inaunga mkono mpango wa Palestina wa kulitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liainishe muda wa kuondoka Israel katika ardhi inazozikalia kwa mabavu za Palestina.
IQRA FM RADIO
Sunday, September 28
Browse: Home
» Habari za kitaifa na kimataifa
» Jumapili, 28 Septemba 2014 OIC: Viongozi wa Israel washtakiwe kwa kutenda jinai
Jumapili, 28 Septemba 2014 OIC: Viongozi wa Israel washtakiwe kwa kutenda jinai
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
LEO KATIKA HISTORIA
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: