Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Saturday, September 27

Jumamosi, 27 Septemba 2014 10:01 USA:Kampeni ya angani yasambaratisha IS

Posted by mkachu  |  Tagged as:

Jenerali Martin Dempsey Kushoto.

Mkuu wa jeshi nchini Marekani Jenerali Martin Dempsey amesema kuwa mashambulizi ya angani dhidi ya kundi la Islamic State yameliharibu kundi hilo,lakini akaonya kuwa kampeni hiyo ya angani pekee haiwezi kuliangamiza kundi hilo.
Amewaambia waandishi habari kwamba kampeni ya nchi kavu dhidi ya kundi hilo ni muhimu nchini Iraq na Syria.
Jenerali Dempsey amesema kuwa kati ya wapiganaji elfu kumi na mbili na elfu kumi na tano kutoka kwa makundi ya upinzani nchini Syria watahitajika katika vita vya nchi kavu nchini Syria.
Idadi hiyo ni mara mbili na hata tatu kwa ukubwa ukilinganisha na idadi inayotarajiwa kupewa mafunzo ya kijeshi mbali na silaha na wanajeshi wa Marekani.

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com