Shams Uddin afisa polisi wa Pakistan amesema kuwa eneo
zima la vijiji na milima kwenye mpaka limeathiriwa na mapigano hayo,
huku maelfu ya watu wakikimbia nyumba zao kuelekea kwenye maeneo salama.
Machafuko hayo yanahesabiwa kuwa ni ukiukwaji mbaya zaidi
wa makubaliano ya usitishaji vita yaliyofikiwa mwaka 2003 kati ya India
na Pakistan.
Facebook
Twitter
RSS
0 toamaon yako: