Tanzania swahili radio

IQRA FM RADIO

IQRA FM RADIO
IQRA FM RADIO ELIMU NA MATENDO UIMARA WA RADIO IQRA UPO MIKONOMI MWAKO CHANGIA RADIO IQRA KWA MPESA 0762118805TIGO PESA 0658118804

Thursday, September 25

FBI yamtambua mpiganaji wa jihad

Posted by mkachu  |  Tagged as:

Mkurugenzi wa FBI nchini Marekani,James Comey
Mkurugenzi wa shirika la upelelezi la marekani FBI, amesema ofisi imemtambua mmoja wa wanamgambo wa Islamic State aliyekua ameuficha uso wake aliyehusika na mauaji ya Waandishi wa habari wa Marekani na mfanyakazi wa shirika la misaada, raia wa Uingereza.
Shirika hilo halijataja jina na uraia wa mtu huyo, lakini serikali ya London imesema anaonekana kuwa muingereza.
James Comey amesema muuaji ametambulika kwa msaada wa washirika wao wa kimataifa.
Mauaji ya kikatili yaliyofanyika dhidi ya James Foley, Steven Sotloff na David Haines yalitolewa kwenye video na kupelekwa kwenye mitandao na wanamgambo hao wa Islamic State na kuchochea mapambano dhidi ya wapiganaji wa Jihad.

0 toamaon yako:

Author

CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...

uislam na maisha yake

uzayuni

swahili radio

uislam na maisha

mohamed waziri

Subscribe to our Mailing List

We'll never share your Email address.
+255 (762) 118-805 mohamedwaziri295@gmail.com