Taasisi isiyo ya kiserikali nchini Ubelgiji imelaani vikali
mwendelezo wa vitendo vya kuwalazimisha wasichana kuolewa wakiwa na umri
mdogo duniani.
Taasisi ya Belgium Plan imeeleza kuwa, katika kila dakika moja
wasichana wadogo 27 hufungishwa ndoa kwa nguvu duniani. Taasisi hiyo
imeeleza kuwa, vitendo hivyo vinashuhudiwa zaidi katika mabara ya Afrika
na Asia. Vitendo vya kuwalazimisha wasichana kuolewa wakiwa bado
wadogo licha ya kuwazuia mamilioni ya wasichana hao kupata elimu na
malezi bora, huhatarisha maisha yao kwa kupata ujauzito wakiwa na umri
mdogo.
Taasisi ya Belgium Plan imesisitiza juu ya udharura wa wasichana hao
kupewa elimu na huduma afya. Hivi karibuni, Mfuko wa Watoto Duniani
(UNICEF) ulitoa ripoti ukitangaza kuwa, zaidi ya wasichana milioni 700
duniani walilazimishwa kuolewa wakiwa na umri mdogo. Kwa mujibu wa
ripoti hiyo, karibu theluthi moja kati ya watoto hao milioni 700
waliolewa wakiwa na umri wa miaka 15 tu.
Sunday, October 12
Ubelgiji yakemea ndoa za kulazimishwa
Posted by mkachu |  Tagged as: Habari za kitaifa na kimataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Andika Maoni
add
TANGAZANASI
kwama Matangazo wasiliana nasi kupitia anuani zifuataz
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
Email:
iqrafmradio@gmail.cm
contact us:
0752925259
0762118805
infohttp:iqrafmradio.blogspot.com
uimara wa redio iqra upo mikononi mwako
>>Wote mnakalibishwa.....................................
ZILIZO SOMWA ZAIDI
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa ni dua za baada ya nyakati mbalimbali za sala. Tunamuomba Mwenyezi Mung...
-
Mwenyezi Mungu anasema: Niombeni nitakupeni. Zifuatazo hapa chini ni dua 25 za Qur'ani Tukufu tulizozinukuu kutoka katika...
-
RATIBA YA VIPINDI KWA JUMA ZIMA RATIBA - JUMATATU MUDA KIPINDI MUHUSIKA 06:30-07:00 M...
-
Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, kuna udharura wa kuweko vita vya kimataifa dhidi ya magaidi. Rais Assad amesisitiza kwamba, kwa...
MITANDAO YA KIJAMII
TAFUTA HABARI ZILIZO SOMWA NYUMA
Powered by Blogger.
Author
CONTACT ME FOR WEB AND BLOG DESIGNING...
0 toamaon yako: